Bajeti zakataliwa bungeni Dodoma\
hali imeendelea kuwa tete baaada ya bajeti ya maji kukataliwa bungeni.waziri wakati akiwalisha bajeti hiyo ya maji wabunge wengi walitia mgomo kutokana finyu kulingana na matatizo ya maji inayoikabli mikoa mingi kukosa maji yauhakika
No comments:
Post a Comment